Infinix Hot 70 ni simu mpya imeingia rasmi sokoni mwezi mei 2026
Kwa Tanzania inatarajiwa kuingia rasmi mwezi huu Juni
Sifa zake zinashtua ukiilinganisha na Infinix Hot 60
Utendaji na betri pia chaji ndio kumetengeneza utofauti huu unaostaajabisha
Utofauti
Infinix Hot 70 na Infinix Hot 60 zinatofautiana kwenye maeneo kama manne
Hot 60 ina network inayosapoti mtandao wa 5G
Wakati Infinix Hot mpya ya 2026 inasapoti mpaka mtandao wa 4G
Kwa mantiki hiyo utendaji wa Hot 60 ni mkubwa kuliko hot 70
Vitu vilivyoongezeka
Japokuwa Infinix Hot 70 inakosa utendaji mkubwa ila ina sifa za ziada
Kwanza inakuja na betri kubwa
Betri yake ina mAh 6000
Hivyo ukaaji wa chaji unaweza kufika masaa 14
Hii simu ina NFC, haikuwepo kwwnye toleo lililopita
NFC hutumika kufanya malipo malipo bila kuhitaji kadi
Malipo ya kadi kwa Tanzania hayasambaa hivyo hata matumizi ya NFC yanaweza yasitumiwe na wengi
Kitu kingine Infinix Hot 70 inasapoti chaji hadi ya wati 45 kutoka wati 15
Pia saizi ya hii simu ni kubwa kidogo ukifananisha na toleo hilo la nyuma
Ufanano
Kwa zaidi ya 80% hizi simu mbili zinafanana
Infinix hot 70 imeongozewa uwezo wa betri na chaji
Ila utendaji umepungua
Kwa maana inatumia prosesa ya Mediatek helio g100 ultimate
Ambayo ni prosesa zisizo na utendaji wa kutisha
Kwa hiyo kwa muhitaji wa mtandao wa 5G hana haja ya kununua Infinix Hot 70
Ila kama swala la ukaaji wa chaji ni kitu, huna kununua hii infinix mpya