SimuNzuri

Zigundue Sifa Za Simu Bora Kiundani

Kampuni bora za Simu duniani (2024/2025)

VIDEOS

Sihaba Mikole

January 12, 2025

Pamoja na uwepo wa makampuni zaidi ya 100 ya kutengeneza simu bado kampuni zilezile zimeendelea kushika soko kwa sehemu kubwa duniani, kampuni hizo ni apple, samsung na xiaomi na nyinginezo.

Zipo ambazo zimefanya vizuri kwenye utoaji wa simu za madaraja ya kati na kampuni nyingine zimafanya vizuri kwa kuuza simu za madaraja ya juu, sasa zijue zote kiundani zilizoshika usukani kwenye soko la simujanja(smartphones)

Maoni 2 kuhusu “Kampuni bora za Simu duniani (2024/2025)

Maoni na Maswali

Email yako haitochapishwa, kwenye alama * lazima pajazwe ili ukomenti

Fuatilia Zaidi

camon 40

Bei ya Tecno Camon 40 na sifa zake muhimu

Simu za madaraja zinazotoka miaka ya karibuni zinashawishi kuachana na kununua simu za gharama kubwa Maana matoleo mapya yamekuwa na ubora wenye tofauti ndogo  na simu za bei kubwa Tofauti […]

Bei ya Infinix Note 50 na Sifa zake muhimu

Infinix wametoa matoleo mapya na yameshaanza kupatikana Tanzania Moja ya toleo hilo ni Infinix Note 50 ambayo ina maboresho upande wa software, kioo na uimara wa simu kiujumla Kwa sifa […]

sony xperia xz3

Simu za Sony Xperia za bei rahisi kwa Tanzania

Simu ya Sony iliyotoka mwaka huu 2025 ni Sony Xperia 1 VII Bei yake unaijua ni shilingi ngapi? ni milioni nne na  laki tano huko duniani Ni bei kubwa sana […]

pixel thumbnail

Simu za google pixel za bei rahisi zenye utendaji mzuri (2025)

Simu mpya za Google Pixel hupatikana kwa bei kubwa ambayo kwa Tanzania ni wachache wanayomudu Simu za google pixel hutengeneza simu za madaraja ya juu kama uonavyo iPhone Hivyo katika […]

SimuNzuri

Zigundue Sifa Za Simu Bora Kiundani
TUFUATE
Youtube Facebook Instagram twitter

E-mail : simunzuriblog@gmail.com

Simu: 0756 077262 au 0683 420543

Whatsapp: +255 756 077 262

Kabila, Magu

Mwanza, Tanzania

Company