SimuNzuri

Zigundue Sifa Za Simu Bora Kiundani

Kampuni bora za Simu duniani (2024/2025)

VIDEOS

Sihaba Mikole

January 12, 2025

Pamoja na uwepo wa makampuni zaidi ya 100 ya kutengeneza simu bado kampuni zilezile zimeendelea kushika soko kwa sehemu kubwa duniani, kampuni hizo ni apple, samsung na xiaomi na nyinginezo.

Zipo ambazo zimefanya vizuri kwenye utoaji wa simu za madaraja ya kati na kampuni nyingine zimafanya vizuri kwa kuuza simu za madaraja ya juu, sasa zijue zote kiundani zilizoshika usukani kwenye soko la simujanja(smartphones)

Maoni 6 kuhusu “Kampuni bora za Simu duniani (2024/2025)

Maoni na Maswali

Email yako haitochapishwa, kwenye alama * lazima pajazwe ili ukomenti

Fuatilia Zaidi

No Featured Image

Simu za Google Pixel sahihi za kununua (2026)

Hapa Tanzania Google Pixel imeshika kwa sasa Ni simu zilizovuta wengi na kununua kama vipofu Matokeo yake wengine wameibuka kununua Google Pixel ambazo hazifai kwa sasa Baadhi za Google zina […]

redmi 15c

Bei ya Redmi 15C na Sifa Zake Muhimu

Redmi 15C ni simujanja ya bei rahisi Ila ukipitia sifa zake utagundua kuwa umekuwa ukipoteza pesa kwa kununua brand zinazofahamika zaidi Uhalisia ni kwamba sio kila Samsung, Tecno, Infinix au […]

vivo 2025

Simu za Vivo na bei zake (2025-2026)

Hii ni orodha ya baadhi ya simu mbalimbali za vivo Katika kundi hili kuna vivo za bei rahisi na vivo za bei kubwa Kama hujui kampuni hii hutoa matoleo ya […]

iphone 17 pro max thumbnail

Bei ya iPhone 17 Pro Max na sifa zake muhimu

Ni takribani imefika miezi miwili mpaka tangu iphone 17 pro max iPhone 17 Pro Max ni moja ya simu kali kabisa iliyopo sokoni kwa sasa Bei ya iPhone 17 Pro […]

SimuNzuri

Zigundue Sifa Za Simu Bora Kiundani
TUFUATE
Youtube Facebook Instagram twitter

E-mail : simunzuriblog@gmail.com

Simu: 0756 077262 au 0683 420543

Whatsapp: +255 756 077 262

Kabila, Magu

Mwanza, Tanzania

Company