SimuNzuri

Zigundue Sifa Za Simu Bora Kiundani

[VIDEO]-ubora wa picha na kiutendaji wa Samsung Galaxy A06

VIDEOS

Sihaba Mikole

November 4, 2024

Hii ni video inayokupa nafasi kushuhudia sifa za ziada za samsung galaxy a06 hasa upande wa kamera

Kama hujui, Galaxy A06 NI simu mpya ya daraja la chini ambayo imetoka mwaka 2024

Ipo katika kundi moja na simu za matoleo ya Tecno Spark 40, Redmi 14C ambazo zimetoka huu mwaka

Ila kwenye video kumeelezewa utofauti mmoja mkubwa unaoitofautisha galaxy a06 na simu zingine

Maoni na Maswali

Email yako haitochapishwa, kwenye alama * lazima pajazwe ili ukomenti

Fuatilia Zaidi

sony xperia xz3

Simu za Sony Xperia za bei rahisi kwa Tanzania

Simu ya Sony iliyotoka mwaka huu 2025 ni Sony Xperia 1 VII Bei yake unaijua ni shilingi ngapi? ni milioni nne na  laki tano huko duniani Ni bei kubwa sana […]

pixel thumbnail

Simu za google pixel za bei rahisi zenye utendaji mzuri (2025)

Simu mpya za Google Pixel hupatikana kwa bei kubwa ambayo kwa Tanzania ni wachache wanayomudu Simu za google pixel hutengeneza simu za madaraja ya juu kama uonavyo iPhone Hivyo katika […]

bei ndogo

Simu za laki tatu zenye ubora wa kuridhisha kwa 2025

Iwapo unapanga kununua simu chini ya laki tatu au zisizozidi laki nne usitarajie kupata simu yenye ubora mkubwa Kwa maana usitarajie kamera kali na utendaji mkubwa Ila kwenye hii post […]

No Featured Image

Bei ya Samsung Galaxy A06 na Ubora wake

Samsung Galaxy A06 ina betri inayokaa na chaji muda mrefu na ni simu ya daraja la chini Hii inamaanisha watu wengi kwa hapa Tanzania wanaweza inunua Kwa sababu bei ya […]

SimuNzuri

Zigundue Sifa Za Simu Bora Kiundani
TUFUATE
Youtube Facebook Instagram twitter

E-mail : simunzuriblog@gmail.com

Simu: 0756 077262 au 0683 420543

Whatsapp: +255 756 077 262

Kabila, Magu

Mwanza, Tanzania

Company